Pages

Tuesday 23 July 2013

SERIKALI YAFUNGA MIGODI MINNE MERERANI

Kufuatia kupigwa risasi kwa mfanyakazi wa Tanzanite one William Onesmo Mushi na kufariki papo hapo serikali kupitia wizara ya nishati na madini imefunga migodi minne inayozunguka eneo hilo kwa muda usiojulikana ili kupisha uchunguzi.

Jeshi la polisi mkoa wa Manyara linamshikilia Chusa kwa mahojiano kuhusiana na tuhuma za kudaiwa kuhusikana kifo cha Mushi usiku wa kuamkia Julai 20 mwaka huu.

No comments:

Post a Comment